Miradi

Kuwezesha Kilimo

Tunaamini katika matokeo. Hizi ni baadhi ya suluhisho tunazozitoa kwa vitendo ili kuongeza tija na uendelevu katika kilimo
Completed

Onyesho la MaizeMax 300WP Korogwe

📍 Iyunga, Mbeya
📅 April 28, 2025April 30, 2025
Ni kileo cha magugu (selective herbicide) kinachotumika kwenye zao la mahindi (kabla na baada ya magugu kuota). Kwa matokeo bora, inaweza kutumika siku 3 baada ya kupanda mbegu; unyevu wa kutosha kwen
Completed

Huduma Inayomlenga Mteja

📍 Iyunga, Mbeya
📅 January 15, 2025July 18, 2025
Kutoa elimu kwa wakulima ni kipaumbele chetu cha kwanza; hapa wakulima wanaelimishwa kuhusu viua wadudu vyetu, namna ya kuvitumia, na wakati sahihi wa kupulizia.
Completed

Onyesho la Baeche Plus 300WP Shinyanga.

📍 Iyunga, Mbeya
📅 February 27, 2025February 28, 2025
Beche Plus 300WP ni kileo cha kuchagua (selective herbicide) kinachotumika kwenye zao la mpunga, chenye uwezo wa kuua magugu yote (majani mapana na manyasi) na kuzuia magugu mapya kuota.
Mbeya Agrochemicals Company Limited ni kampuni binafsi iliyosajiliwa nchini Tanzania ikiwa na ofisi yake kuu jijini Arusha, Tanzania. Sisi hujikita zaidi katika pembejeo za kilimo na huduma za ushauri.

© 2026 Mbeya Agrochemicals Ltd. All rights reserved.

Web by Pamtech